KARIBU KATIKA BLOG YETU

Friday, August 24, 2012

PR wa Tigo nae amehamia Airtel

Sikuwahi kufikiria hili na sidhani kama hata wewe umewahi kufikiria hili pia??!!Eti kwenye tangazo la Hamia Airtel dereva lile gari dogo nae mwishoni kabisa alihamia kwenye basi kubwa  la Airtel.. Nimelikumbuka hili baada ya kugundua kuwa aliyekuwa Afisa uhusiano wa Tigo Bw Jackson Mbando sasa yuko Airtel akishika nafasi hiyohiyo..Jibu nililopata kuwa kampeni ile kumbe sio ilifanikiwa kuwavuta wateja bali hata aliekuwa dereva(afisa uhusiano) nae amehamia Airtel…….Is that’s advertising power??!!!


Mr Jackson Mbando

Katika hili tangazo dereva nae alishuka na kuhamia basi la Airtel.Na hicho ndicho alichofanya Mbando(dereva).Angalia tangazo hili

No comments:

Post a Comment